Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari, 2019

SOMO # 04: TUWE WASIKILIZAJI NA WATE NDAJI WA NENO LA MUNGU

  TUWE WASIKILIZAJI NA WATE NDAJI WA NENO LA MUNGU Hii ni sehemu ya kwanza katika somo hili. Mpendwa heri ya Mwaka mpya, karibu tujifunze hili somo, Bwana akutanguliye na kukupa uaminifu katika kulisoma na kulichukulia hatua kwenye huu mwaka ili mambo makubwa kabisa kwa imani Mungu aweze kuyatenda katika maisha yako. Mpendwa nakuomba huu mwaka na kuendelea tuachane na ile Tabia ya kulisikiliza Neno la Mungu tu pasipo kulifanyia kazi, Maana tutakuwa hatuna utofauti na wale ambao hawamwamini Mungu na ambao hawaendagi hata kanisani. YAKOBO 1:22 imeandikwa;- Lakini iweni watendaji wa Neno Wala si wasikilizaji tu bali mkijidanganya nafsi zenu. Mpendwa katika maisha yetu mpaka hapa tulipo najua tulishalisikiliza Neno la Mungu katika sehemu na njia mbalimbali Sana LAKINI Je! Hilo Neno huwa tunalifanyia kazi katika maisha yetu?! Je! Neno huwa linasikilizwa wapi? 1. Huwa tunalisikia Neno la Mungu kupitia Waimbaji mbalimbali makanisani kwetu Kila tukienda kusali kuna kwaya h...